Uhuru wa mtandao bado ni jambo la busara kwa Amerika katika kongamano la UN
Waakilishi wa nchi ya Amerika (USA) katika mkutano ujao wa mikataba ya teknologia ya simu na mtandao hawata shusha azma ya Marekani ya kuendeleza uhuru wa kujielea kwenye mtandao na pia kupinga sheria mpya zinazo wekwa kwa watumizi wa mtandao. kiongizi wa waakilishi hao ametangaza Soma zaidi